Surprise Me!

Diamond wakati Rais Magufuli anapokea Bombardier

2018-04-03 10 Dailymotion

Ndege yetu Bombardier Dash-8 Q400 imetua salama uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam. Rais Magufuli pamoja na wadau mbalimbali akiwemo muimbaji Diamond Platnumz alikuwa uwanjani hapo.

Buy Now on CodeCanyon