Mambo vipi? naona watu mmeamka na kuzinduka usingizini.....hapana chezea.....hii ni sehemu ya pili katika muendelezo wa MAPENZI NA MAHUSIANO......video inayosema mwanamke jifikishe kileleni mwenyewe.<br /><br />Naimani sehemu ya pili tutaenda sawa....jamani hii video nimeitoa kwa mapenzi yangu.....sikulazimishi wewe kufanya kama nilivyosema kama unahisi ni Dhambi au maadili mabaya....pita kimya......<br />ukiweka comment ya matusi unafikiri ndio ntakuelewa? au kukujibu la hasha! utakuwa unapoteza muda wako......kama huniingizii pesa wala kunipa chakula jua hunisaidii kitu....kikubwa unanipenda na ndio maana <br />unanifuatilia......haya endeleeni kupata uhondo......<br /><br />Wanaokoment upuuzi wanawaponza na ninafungia comment.<br />kama unajua yote umefuata nini hapa?<br /><br />Wale tunaolewana endeleeni kupata uhondo na kuburudika na video za Dada wa Kitumbua Originalee....Sindano ya woteee....Inapenya tuuu....