Surprise Me!

Tiba Ya Covid-19 Itatolewa Bure Katika Hospitali Humu Nchini

2023-02-22 4 Dailymotion

Wizara Ya Afya Kwa Ushirikiano Na Mashirika Mbalimbali Ya Kupambana Na Ugonjwa Wa Covid-19 Imewashauri Wakenya Kuzidi Kudumisha Usafi Na Kujilinda Kutokana Na Ugonjwa Huo. Haya Yamejiri Wakati Serikali Imesema Imevumbua Dawa Maalum Inayoponya Wagonjwa Mahututi Wa Covid-19 Amabyo Itatolewa Bure Na Wizara. Mkurugenzi Mkuu Katika Wizara Ya Afya Daktari Amoth Amesema Mpango Wa Kujumuisha Afya Bora Uliofanyiwa Majiribi Kaunti Ya Kiambu Utasambazwa Katika Kaunti Zoteine Nchini.

Buy Now on CodeCanyon